LYRICS

Marioo – Sina Baya LYRICS

Marioo – Sina Baya LYRICS

Tanzanian fast-rising Bongo Fleva recording artist, Marioo is back again with another astonishing banger titled Sina Baya.

Marioo – Sina Baya LYRICS

Mnanipenda yes papaa Aaaah yes papa
Mnanikubali yes papa Eeeh yes papaa
Si Mnanipenda yes papaa Aaaah yes papa
Mnanikubali yes papa Eeeh yes papaa
Si Mnanipenda yes papaa Aaaah yes papa
Mnanikubali yes papa Eeeh yes papaa

Sina noma na Dangote
Sina noma na King Kiba
Sina noma na king Kiba
Sina noma na Vanny Boy

Nikisema Mmmmh Marioo
Mnasema Aaaaah huna baya
Sema Mmmmh Marioo
Mnasema Aaaaah huna baya

Shii chukutu chukutu chukutu
Chukutu chukutu Kukutu kukutu
Kukutu kukutu kukutu

Shuu shuu shuu shukushuuu
Shuu shuu shuu shukushuuu

Yani kamba juu ya kamba miwa
Kama fei toto kila kona me natamba
Mawe yote ya moto

Masela wangu Ooooh tulewe leo Ooooh tulewe leo
Masela wangu Ooooh tukunywe leo Ooooh tukunywe leo

Sina noma na Chibudenga
Sina noma na King Kiba
Sina noma na Kondeboy
Sina noma na Chui

Nikisema Mmmmh Marioo
Mnasema Aaaaah huna baya
Sema Mmmmh Marioo
Mnasema Aaaaah huna baya

Shii chukutu chukutu chukutu
Chukutu chukutu Kukutu kukutu
Kukutu kukutu kukutu

Shuu shuu shuu shukushuuu
Shuu shuu shuu shukushuuu

Mmmmmh baaad
Nikisema

DOWNLOAD MP3

Also, check more tracks from Marioo;

Leave a Comment