Diamond Platnumz – Unachezaje LYRICS
Zombie iyo
Mfukoni nina jiti (?) Mkononi K-Vant
Nasikia kumekiki wapi, nije kujimwaga kati
Oh haitoshi kalitaka zima vapa kaletewa
Oh My gosh sasa kazima anataka kupepewa
Oh haitoshi kalitaka zima vapa kaletewa
Oh My gosh sasa kazima anataka kupepewa
Nionyeshe unachezaji, unachezaje,
Unachezaje, Kwani unachezaje,
Unachezaje, Unachezaje
Nionyeshe unachezaji, unachezaje,
Unachezaje, Kwani unachezaje,
Unachezaje, Unachezaje
Mbili kwa mbili, four, four, pale pale
Dawa ya show, show na isilale
Okay peleka vuta, pole pole sio kwa pupa
Ebo devera shusha hapo mbele kwenye tuta
Huu ni mti gani wa mchongoma
Ukiukata haukatiki
Sii mtu gani, Wamchongoma
Ukitukata haukatiki
Waonyeshe unachezaji, unachezaje,
Unachezaje, Unachezaje,
Kwani unachezaje, Unachezaje,
Waonyeshe unachezaji, unachezaje,
Unachezaje, Unachezaje,
Kwani unachezaje, Unachezaje,
Pompo lipo lipopo pompo lipola
Pompo lipo lipopo pompo lipola
Pompo lipo lipopo pompo lipola
Pompo lipo lipopo pompo lipola
Waambie chombo, kinapepea
Eeh chombo kinapepea
Haga chombo kinapepea
Kile chombo kinapepea
Ngoja kwanza ……
Huo Mnazi, unakatika
Mnazi, unakatika
Jama Mnazi, unakatika
Ona Mnazi, unakatika
Ukitaka kukatika
Ukatika kati, kati, kati kaa
Huo mjumba, unabomoka
Mjumba, unabomoka
Mama Mjumba, unabomoka
Ona Mjumba, unabomoka
Ukitaka kubomoka
Bomo, bomo bomo booo
Also, check more tracks from Diamond Platnumz;
- Rayvanny – Woza Ft. Diamond Platnumz (Prod. Trone)
- Lava Lava Ft Diamond Platnumz – Bado Sana (Prod. Mr LG)
- Baba Levo Ft Diamond Platnumz – Shusha
- Diamond Platnumz – Number One Remix Ft Davido
- Diamond Platnumz Ft Khadija Kopa – Nasema Nawe
- Rayvanny Ft Diamond Platnumz – Vumbi (Prod. S2kizzy)
- Diamond Platnumz – Jeje (Prod. Kel P)