LYRICS

Mbosso – Ova LYRICS

Mbosso – Ova LYRICS

In his latest release, Ova,” Mbosso bares his soul, pouring out raw emotions and expressing the deep pain of a broken heart. With vulnerability, he tells his lover that their relationship has come to an end, drawing a line under the love they once shared. The song beautifully captures the anguish of love lost, with Mbosso’s emotive vocals painting a vivid picture of sorrow and the finality of moving on.

RELATED: Yammi Ft. Mbosso – Nitadumu Nae

Mbosso – Ova LYRICS

Vishavu vimeanza kunona
Kitambi ndo hichi sasa ona
Nitazame, nanenepa nanenepa
Nami nimempata chioma

Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kunitukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova ova

Ova mi na wewe ova
Ova imetosha ova
Ova mi na wewe ova
Ova nimesema ova

Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear

Shilingi shilingi shilingi
Shilingi yatutoa roho shilingi
Shilingi yo ni mwanaharamu shilingi
Shilingi ya ua mapenzi

Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear

Ova mi na wewe ova
Ova imetosha ova
Ova mi na wewe ova
Ova nimesema ova

Ulijichanganya, na nilikupenda sana
Walokudanganya, ndo walokuponza dear
Kujitia mpana, mara kuntukana
Kwakweli hapana, nikasema ova dear
Ova ova

Also, check more tracks from Mbosso;

Leave a Comment