LYRICS

Ibraah – Nimepona LYRICS

Ibraah - Nimepona LYRICS

Ibraah, a renowned recording artist from Tanzania and a consistent chart-topper at Konde Music World Wide, has recently dropped a fresh single entitled “Nimepona.”

RELATED: Ibraah – Sielewi

The track delves into Ibraah’s affection for a girl and his willingness to go to great lengths for her. It has garnered positive reviews from both fans and critics, cementing Ibraah’s reputation as a rising star in the music industry.

Ibraah – Nimepona LYRICS

DOWNLOAD MP3

Macho yangu ynatamani kukuona
Ila moyo umegoma
Umecheza na hisia zangu
kumbe si fungu nilichagua koroma
Mi nashangaa macho yanatamani kukuona
Ingali mabaya yalishuhudia
Nakidogo nlickokua nacho ndo kikafanya ukanikimbia
Yan kama nilichomwa na mwiba maa
Maumivu yakanipa shida naa

Siungesema kama umeshiba mapenzi yangu mapenzi yangu weeh
Mana uliyafanya sio yakawaida maa
Je ungeniona cha roho kikibana
Nikajikokota uku nikimuomba mungu wangu kutwa nikuonee

Sio kwa ubayaaa
Nmejiuguza na nimepona
Mmh wewe
Nimejiuguza na nimepona
Mi mzima wa afya
Nimejiuguza na nimepona
Yanilitesa ila sijafaa
Nimejiuguza na nimeponaa
Uuh yeeeeh uuuuuh!

We ndo uliwish nipitie mabaya
Moyo wako si umejenga chuki sawa sawa
Changu kidege kimeota mbawa
Haujaniuza bure bure umenigawa
Nenda utapata anaekupenda wenda utampenda haayaa
Mi kosa langu kukupenda ukaniona mwana kwenda haaayaaaa
Nilivyoongeza upendo mabaya ulifanya dhairi kwa vitendo
Kumbe ziro malengo kwangu ulifollow tendo
Zile baby baby we kumbe ulinizuga baby
Yani kama nilichomwa na mwiba maa
Maumivu yakanipa shida naa

Siungesema kama umeshiba mapenzi yangu mapenzi yangu wee
Mana ulifanya sio yakawaida maa
Je ukiniona cha roho kikibana
Nikajikokota huku nikimuomba mungu wangu kutwa nikuonee

Sio kwa ubayaaa
Nmejiuguza na nimepona
Nimepona nimepona eeh
Nimejiuguza na nimepona
Mi mzima wa afya
Nimejiuguza na nimepona
Yanilitesa ila sijafaa
Nimejiuguza na nimeponaa
Aaaaah nimeponaaa

Also, check out more from Ibraah;

Leave a Comment