LYRICS

Dedo Dieumerci Ft. Naomi Mugiraneza – Majina Yote Jehovah Lyrics

Dedo Dieumerci Ft. Naomi Mugiraneza - Majina Yote Jehovah Lyrics

Majina Yote Jehovah” is a gospel song that brings together the talents of Dedo Dieumerci and Naomi Mugiraneza. In this track, the artists explore themes of faith, devotion, and worship, using music as a medium to express their reverence and adoration for Jehovah. The title “Majina Yote Jehovah,” which translates to “All Names Jehovah” in English, suggests a focus on the many names and attributes of God.

RELATED: Moses Bliss – Daddy Wey Dey Pamper Lyrics

The combination of Dedo Dieumerci’s and Naomi Mugiraneza’s musical styles likely creates a unique blend of vocal harmonies and melodies, aiming to inspire and uplift the listener through their spiritual message. This song, rooted in gospel traditions, serves as a reminder of the power of music to convey deep religious and spiritual sentiments.

Dedo Dieumerci Ft. Naomi Mugiraneza – Majina Yote Jehovah Lyrics

Majina Yote Mazuri ni yako Eh
Johava Muumbaji Wangu
Nikupe Jina Gani Kwani Kila
Lakiheri ni Upekee Wako
Majina Yote Mazuri ni yako Eh
Johava Muumbaji Wangu
Nikupe Jina Gani Kwani Kila
Lakiheri ni Upekee Wako
Majina Yoooteeee!
Majina Yote Mazuri ni yako Eh
Johava Muumbaji Wangu
Nikupe Jina Gani Kwani Kila
Lakiheri ni Upekee Wako
Nikuupeee Jina Gani!!!
Nikupe Jina Gani Kwani Kila
Lakiheri ni Upekee Wako
Majina Yooteee!!!!
Majina Yote Mazuri ni yako Eh
Johava Muumbaji Wangu
Nikupe Jina Gani Kwani Kila
Lakiheri ni Upekee Wako
Umeniponyaaa!
Umeniponya Nakuita Jehova
Rapha Mungu, Mponyaji Wangu
Umenikoaaa!!
Umeniokoa nakuita Mwokozi
Bwana Mungu wa Wokovu wangu
Umenipigania!!!
Umenipigania nakuita Jehova
Nisi Bendera ya Ushindi wangu
Umeniponya!!
Umeniponya Nakuita Jehova
Rapha Mungu, Mponyaji Wangu
Umeniokoa!!
Umeniokoa nakuita Mwokozi
Bwana Mungu wa Wokovu wangu
Umenipigania Yesu!!!
Umenipigania nakuita Jehova
Nisi Bendera ya Ushindi wangu
Umenipigania!!!!!
Umenipigania nakuita Jehova
Nisi Bendera ya Ushindi wangu
Usifiiiiweee!!!
Usifiwe ewe bwana MUUMBA
Wangu na Nuru yangu
Wema wako wanijaza Moyoni…
Wewe ndiwe Mchungaji wangu
Tena Kiongozi wa Maisha yangu
Wanitazama kama mboni ya jicho lako
Usifiwe ewe bwana MUUMBA
Wangu na Nuru yangu
Wema wako wanijaza Moyoni…
Wewe ndiwe Mchungaji wangu
Tena Kiongozi wa Maisha yangu
Wanitazama kama mboni ya jicho lako
Usifiwe ewe bwana MUUMBA
Wangu na Nuru yangu
Wema wako wanijaza Moyoni…
Wewe ndiwe Mchungaji wangu
Tena Kiongozi wa Maisha yangu
Wanitazama kama mboni ya jicho lako
Umenifanyaaaa!!
Umenifanya kuwa kielelezo cha walio barikiwa
Zaidi ya yote ukanifanya kuwa Baraka
Ili nami nibariki
Nimekupata wewe nami nikaridhika
Wewe ni yote ndani ya yote
Usifiwe ewe bwana MUUMBA
Wangu na Nuru yangu
Wema wako wanijaza Moyoni…
Wewe ndiwe Mchungaji wangu
Tena Kiongozi wa Maisha yangu
Wanitazama kama mboni ya jicho lako

Leave a Comment